Wednesday, April 6, 2011

MULTIPLE USE OF CONDOMS


I find this local weapon in Lindi, it is commonly used by kids to hunt birds and the likes. It is made from used condoms! It is terrible, but still it happen. Proper disposal of these gadgets is highly advised otherwise will fall to hands of the creative kids like these ones.

NDUNDU - SOMANGA ROAD



The road is under construction; to any level of expertism it has taken too long to be completed. Along the road vehicles, drivers and passengers are suffering don't forget high costs of goods transportation to southern regions. This makes cost of living in these regions to be high especially for all industrial materials. Physical work progress is very little and sometimes zero progress. A suffering vehicle passing just in front of an asphalt mixing plant at Muholo. The plant has been installed there about four month now, nothing has been produced out of it. I can conclude that this is ARI ZAIDI!

JAMANI MBAGALA!!




Hapa ni maunganikio ya barabara ya Kilwa iliyojengwa na Kajima na ile ya zamani kuelekea mikoa ya kusini, panaitwa Mbagala Rangitatu. Ninatumia sana njia hii kwa safari zangu za Dar es Salaam kwenda Mtwara. Ukiwa unatokea kusini, sehemu hii inakera! Waweza tumia mmasaa mawili hadi matatu kabla ya kuvuka hapa, ni pabovu kuliko Somanga - Ndundu. Kuna halmashauri ya Manispaa ya Temeke pamoja na Mbunge wa kigamboni nyote mnatukera! Mnakera kwa sababu nyie ni wababaishaji, kipande cha meta 100 hakiwezi kukwamisha watu kwa masaa mengi namna hii. Hebu fikiria wewe ni askari wa usalama barabarani na hapo unatakiwa uongoze magari, unatakiwa kuvaa unifomu gani? Mnakera!

MACHWEO DAR ES SALAAM


Ni machweo hapa Slipway Hotel, Dar es Salaam, mandhari nzuri ya jua linalozama mara nyingi hutazamwa na vijana hasa hasa katika uchumba wao ama siku za mwanzo za ndoa. Agharab kuangaliwa na wazee - hasa wa Kizungu, wao hupendelea kuangalia Mawio kwa vile huwakumbusha ujana wao na pia huashiria uwepo wa nguvu mpya!

UKIFIKA ROMA ...



Ukienda Roma fanya kamma Warumi wanavyofanya! Hii ni nahau, kwa hapa imetumiwa na wageni hawa (Wawekezaji) nadhani baada ya kuona huu utaratibu umeendelezwa hapa nchini. Ni uvunjifu wa sheria tuu, ni hapa Tanzania ti ndiyo wanafanya hivyo sina uhakika kama wanaweza kufanya wakiwa nchini mwao (sifahamu uraia wao). Picha hii niliipiga wakiwa maeneo ya Tegeta Ununio - mashambw ya chumvi. Kwa namna yoyote haikubaliki, ni kukiuka sheria kulikozidi kiwango.