Thursday, March 18, 2010

UJENZI NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA






Hii ni Newala juzi (16/03/2010) ujenzi wa barabara unaendelea na hali ya hewa ni nzuri kwa kazi. Baada ya saa moja hali imebadilika, ni ukungu mzito ukiambatana na manyunyu ya mvua kidogo. Wenyeji wamezoea, gari lazima iwe na taa za ukungu ili kuwa salama zaidi.

No comments:

Post a Comment