Tuesday, June 29, 2010

ANAWAZA NINI HUYU?


Mtoto huyu anawaza nini? Je anataka kutupa chupa za maji, ameokota chupa, amemaliza kunywa maji ama anaomba maji? Wangapi wanaweza kufikiria hatma ya watoto kama hawa? Wako wengi! TAFAKARI! JE TUTAFIKA?

No comments:

Post a Comment